Being The Change creates revolution

Something happens when we pull ourselves together. Individually and collectively. When we glimpse and experience what we add up to…. and start to make choices we didn’t know we had. Many of us look around and yearn for change in our lives and in our work. That change may be relatively small, or it may be profound and appear painful to achieve.

Reaching out for others

When it’s your job to help people, sometimes the hardest part is reaching them – and you also have to get everyone working together. Volunteering and community engagement empower people to change the world from the grassroots up, especially when enabled by strong partnerships at every level.

Spreading and sharing the gospel

Our Focus is on building relationships and sharing messages that bring people closer to Jesus Christ. We are use the Spirit as we find ways to share the gospel across countries. We have the courage to share our testimony of the Savior when we feel prompted by the Spirit.

Empowering kids in Tanzania and Africa

We are always dedicated to empowering kids in Tanzania and across Africa to make a difference in their lives. If kids in Tanzania are lucky enough to go to school, it doesn’t mean they are lucky enough to have school supplies..

Touring tanzania and Africa

Celebrating the beauty of Tanzania, see the art and cultural and other members of creative industries. Tanzania is indeed a key cultural tourism destination, with a large number of major sites and a strong flow of international and domestic visitors. Tourists are more and more looking for true experiences, for meeting and getting to know other people and other cultures. And the best place is yet Tanzania.

Thursday 18 February 2021

JOIN ME TO GIVE THEM EDUCATION


 

Tuesday 25 February 2020

MAAJABU YA DUNIA


Nikiwa nimetembelea Mkoa wa Arusha wilayani Monduli, Nchini Tanzania ndipo ninapokutana na mzee mwenye umri wa miaka 105. Idadi ya watoto na wajukuu wa mzee huyo ni 360 na wake 33.
Huyu ni Mzee Meshuko Ole Mapi, almaarufu Mzee Laiboni.
Amelazimika kuwa na shule yake na soko kwa ajili ya jamii yake hiyo na anasema bado ana azma ya kuendelea kuoa. Watu kutoka mataifa mbali mbali hufika kumtembelea mzee huyo kama sehemu ya utalii.
 Nilimuuliza idadi ya familia yake na shule aliyoanzisha na kwa sababu mzee huyo hajui lugha ya kiswahili alikuwa na mkalimani wake ambaye alimtafsiria lugha ya kiswahili
Mkalimani wake alisema kuwa
 Kuhusu ni vipi mzee angeweza kuhudumia familia yote hiyo licha ya umri wake alisema kwamba,wakati wa kiangazi yeye huuza ngombe na kununua mahindi
Aliongezea kuwa idadi ya ngombe alionao inakaribia 3000.
Mzee laiboni alisema kuwa wazo la ujenzi wa shule,lilijiri kwa sababu watoto wake walikua wanasoma shule ya mbali 
Baadaye nilionana na mwalimu mkuu wa shule hiyo. Mwalimu huyo alisema kuwa licha ya kuwa mzee Laiboni sio mbaguzi lakini asilimia 90 ya wanafunzi wote ni watoto wake.

Monday 24 June 2019

SJ STUDIO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATOTO WENYE VIPAJI VYA KUIMBA

Kipaji Kipaji ni zawadi, ni nguvu ya ndani aliyonayo binadamu, inayomwezesha kufanya shughuli zake katika uhalisia wake, na tena bila kutumia nguvu nyingi (Enearta 2005).
Tuna Mifano mingi ya watu wengi waliofanikiwa Tanzania, Afrika na duniania, si kwasababu wamesoma sana, au wamezaliwa katika familia Tajiri, lakini kwasababu ya vipaji vyao kikiwemo kipaji cha muziki au kuimba. Kuna kuimba kwaajili ya kipaji, kuna kuimba kwa kupata mafunzo (skils) na kwa wakristo kuna kuimba kwa ajili ya upako (anointing)

John Shabani na studio yake amekuwa akijitolea kuibua na kufundisha waimbaji wengi, ili kupitia vipaji vya uimbaji kwanza wamtumikie Mungu kisha iwasaidie kimapata kwamaana ya kuuza kazi zao, lakini pia kuwatengenezea platform ya kukutana na watu mbalimbali. Safari hii tumeamua kujitolea kusaidia watoto wenye vipaji vya kuimba. Mlee mtoto kimaadili, mlee mtoto kiroho, mlee mtoto kielimu lakini pia ni muhimu kumlea mtoto kivipaji.


Kila jumamosi asubui, tunakutana na watoto pale studio, tuna wafanyia majaribio kidogo, tuna wafundisha kisha watakaokuwa vizuri wanarekodiwa nyimbo moja ya kutangazia kipaji. Hivyo mzazi,ndugu,rafiki hujachelewa..Mlete mtoto.

 Lakini pia nikushirikishe kuungana nami  kusaidia watoto wenye vipaji lakini wanaishi katika mazingira magumu (JOIN ME TO HELP OUR CHILDREN) Haya yamekuwa maisha yangu, kuhakikisha maisha ya watoto wetu hasa yatima na waishio katika mazingira hatarishi/magumu, walio athiriwa kisaikolojia kwa kunyanyaswa, kulawitiwa, kubakwa na kufanyiwa kila aina ya unyanyasaji wa kijinsia wanasaidika. 

Nimeyafanya haya siku zangu zote, nimeyafanya haya kwa moyo wangu wote, nimeyafanya kwa kujitolea nikimshirikisha kila mwenye moyo wa kusaidia, nimeyafanya kwa kupitia taasisi na mashirika mbalimbali, nimeyafanya kwasababu namimi nilikulia na kulelewa katika mazingira hayo.


Nimekuwa nikiwafundisha Neno la Mungu ili wajue kumtegemea Mungu, kutokuwa na visasi, kusamehe na kumpenda kila mtu, ninaibua vipaji na kuviendeleza, natafuta namna yoyote ya watoto hao kupata elimu bora, wasio na chakula au mavazi tunatafuta namna ya kuwasaidia.


KARIBU TUSHIRIKIANE

Monday 25 February 2019

CHAIRPERSON OF MISSION TO THE NEEDY FOUNDATION DR. GERTRUDE RWAKATARE HAS RELEASED 78 PRISONERS


 Founder and Chairperson of  Mission to the Needy Foundation, Dr. Gertrude Rwakatare, volunteered to pay 78 prisoners in three prisons in Dar es Salaam and be released after paying 25 million shillings equivalent to 10 thousand dollars . The activity was held last year under the spiritual leader who had been accompanied by his staff who started in Keko prison and later towards Ukonga and Segerea. He is now volunteering to finance 50 prisoners in DODOMA prisons, including breastfeeding women, elderly and children.

Speaking to journalists, Dr. Rwakatare said he has given that small amount of money and minor offenses so that they can return to their homeland and build a nation.
"I am in Keko prison where I am happy to release prisoners who have been arrested here for various reasons. Some have failed to finance 40,000 shillings, some have failed to finance 50 thousand, "he said. “I’m very  passionate with my community,  I have been touched, it is impossible to stop what we  are able to do. so in this prison we have paid for them and have been set free, and I have told them to be good citizen, because the prison not a hotel, or somewhere to go outing.


Let us join together to support this vision

Saturday 17 November 2018

KWA WAZAZI/WALEZI NA WAZAZI WATARAJIWA ZINGATIA HAYA MAMBO 10 MUHIMU KWA MALEZI BORA YA MTOTO

 1.Mkanye Mtoto Wako wa Kike Hata Wakiume,Kuusu Kupakatwa Ovyo bila Kujali ni nani Anampakata,Hata Kama Ni Mjomba wake.
2.Usivue Nguo Mbele ya Mwanao Pindi Akifikisha Miaka Miwili Au zaidi,Mwambie Akupishe Uvue Nguo.
3.Usiruhusu Mtu Yeyote Amuite Mwanao"Mchumba,Mke wangu au Mme wangu"
4.Mwanao Akienda Kucheza Akikisha Anacheza nini,Siku Hizi Watoto Wanacheza Michezo Michafu na Watoto wengine Wanamaambukizi.
5.Kama Mwanao Hapendi Kwenda Kwa Mtu Flani Usimlazimishe,Pia chunguza Ujue Sababu.
6.Nakushauri Pitia Muvie Yeyote Kabla Mtoto Kuaangalia ili Uchague Yenye Maadili Mazuri.
7.Mtoto Anapofikisha Umri wa Miaka Mitatu,Anza kumfundisha kusafisha Mwenyewe sehemu zake za Siri,Na Umkataze Kabisa Mtu Kushika Sehemu Hizo.
8.Mfundishe Mtoto Kumcha Mungu na Sio Kufata Mkumbo.
9.Mtoto Akilalamika Kuusu Mtu Flani,Usipuuze Fanya Uchunguzi.
10.Usipende Kumruhusu Mwanao kulala na Housegirl au Houseboy Au mgeni,Baadhi Yao Sio Waaminifu,Huwezi Jua Tabia Za watu na watakachokitenda Usiku.

Comment & Share Tafadhali
Mungu Akupe Familia Bora

#johnshabani

www.singleparentchildren.blogspot.com

Saturday 3 November 2018

JOHN SHABANI ASHIRIKI CHAKULA CHA UPENDO NA WATOTO YATIMA KUTOKA CHAKUWAMA


Nasema asante kwa MAKAO YA KULEA WATOTO YATIMA ( CHAKUWAMA)
Nimejisikia raha kuwahudumia, tumekuwa na wakati mzuri wa kula na kunywa pamoja.



 Lakini pia nimshukuru Mtumishi wa Mungu Mgisa Mtebe kwa kushiriki lakini pia kutoa ujumbe maalum katika tukio hilo. Mwisho pongezi za pekee zimwendee rafiki yangu Edson mhasisi wa "WORLD DOMINION INTERNATIONAL MINISTRIES" kutoka South Africa kwa kujitoa pamoja na marafiki wote mliohudhuri tukio hili la chakula cha upendo.



Mathayo 7:12
Unapokuwa na afya, unapokuwa na uzima, unapokula na kulala vizuri, unapopanga bajeti ya kuwapeleka watoto international schools, unapofanikiwa, kumbuka wapo wengine katika jamii hawana hata matumaini ya kesho, kumbuka wapo yatima, wajane, wazee na watu wenye ulemavu wanaotuitaji. Tuwatembelee, tuwasaidie.

Wednesday 17 October 2018

THEY NEED YOU, THEY NEED ME, THEY NEED OUR SUPPORT